Msanii wakimataifa AKA amesema sababu zakutaa kufanya show katika tamasha la Back to the city lililo anadaliwa huko SA "AKA asema Sipendezwi na jinsi watayarishaji wa matamasha Afrika kusini
wanavyofanya kazi na wasanii wa nyumbani, hata Mimi ni msanii wa kimataifa na
nataka kufanyiwa na kuchukuliwa sawa na wasanii wa kigeni mnaowaita wasanii wa
kimataifa na ndio maana sitafanya show kwenye Back To The City" AKA akiwalala mikia waandaaji wa mwatamsha huko SA .
