Msanii wa Bongo Fleva "Baraka da Prince " afungua juu ya kuchelewa au kuto fanyika kabisa kwa video ya wimbo wake 'Vumilia' alio fanya na mwanadada tokea nyumba ya vipaji THT mwana Dada 'Rubby'
Baraka akifunguka hapa"Wimbo wa Vumilia niliufanya chini ya usimamizi tofauti na nilionao sasa so niliona italeta matatizo na watu kuongea ndio maana nikatoa Video nyingie badala ya hio uwezekano wakufanya video hio upo ila nipaka nifanye mazungumzo ".
Niayo alio sema msanii Baraka da prince
masanii A. k. a tokea Afrika ya kusini ameleza kua amesha fanya ngoma na msanii diamond toka Tanzania na tayari video imesha
AKA akiendelea kufunguka akaeleza kua video yake na Baba Tifa itakua out so soon yani mwezi unaokuja ili kuweza kuipa nafasi nyimbo ya Diamond inayo fanya vizuri kwa sasa katika vituo vya ndani ya Afrika pamja na vya kimataifa
wapenzi na mashabiki wa Mastar hawa subirini kitu kikali toka kwao