Total Pageviews

Blog Archive

ymmb. Powered by Blogger.

Archives

Categories

Labels

A.K.A afunguka kuusu collabo yake na Diamond (Simba) au baba tifa

masanii  A. k. a tokea Afrika ya kusini ameleza kua amesha fanya ngoma na msanii diamond toka Tanzania na tayari video imesha 
 AKA akiendelea kufunguka akaeleza kua video yake na Baba Tifa itakua out so soon yani mwezi unaokuja ili kuweza kuipa nafasi nyimbo ya Diamond inayo fanya vizuri kwa sasa katika vituo vya ndani ya Afrika pamja na vya  kimataifa
wapenzi na mashabiki wa Mastar hawa subirini kitu kikali toka kwao

0 comments:

Post a Comment