Nilikua na fanya nae interviwe muda mchahe kutokea sasa akiwa huko Africa yakusin na maswali yalikya hivii...........
Kwanza watu
wangependa kuku jua kidogo salma ni nani kabla ya kuingia BSS?
Historia yako
kwaufupi
Salma alikua ana
fanyanini kabla ya BSS
Salma yuko wapi na anafanyanini?
Na katika muda ulio
kua ndani ya BSS umepata manufaaa gani
Je wale waliokua mashabiki
wako wategemee ninikutoka kwako
Vipi family ina kupa
support yakutosha?
JE umesha record
track ngap hadi sasa?
Mwisho swali lakizushi
Salma kama motto
wakike anapendelea kufanyanini akiwa home?
majibu yake yalikua hayo
1. Mimi ni mtoto wapili ktk familia ya Mzee
Yusuf Mbwana Abushiri, kabla Bss nilikuwa bado mwanafunzi na pia nilikuwa
napenda mziki km kipaji. Mwaka 2006 ndipo nilianza mziki rasmi na kifunza
chombo cha mziki kinanda hapa "DCMA- Dhows Country Music Academy",
Zanzibar. Baada ya hapo nikaja Dar mwaka 2010 nikajiunga na THT then mwaka 2011
nikaamua kijifunza combo kingine guitar ktk chuo kiitwacho "Johme centre
of music"..baada miezi kaaza pia nikaona si vibaya kupata mafunzo ya voice
training ktk chuo kiitwacho "Turn round music academy TMA". 2. Kabla
Bss nilikuwa mwanafunzi, wakati nilipokuwa Bss nilijifunza mengi kwa watu na
walim tofauti, kusema kweli ilikuwa ngumu kwa Mara ya kwanza kuishi mbali na
familia na umri wangu nilikuwa mdogo miaka 17 ila kuishi na watu ilikuwa na
moja ya experience na changamoto kwangu ila ilikuwa poa sana! . Sasa hivi nipo
Africa kusini nasomea "Music production and deejaying"..Mashabiki
wategemee wengi kwani Mimi mziki kwangu ni kitu almasi kwangu na nataza mbele
zaidi sio tu kuimba!. 3. Nimerikodi ndio nyimbo 6 ninazo but still am working
on then nazo huku huku na kupata experience ya kazi ya mziki huku na industry
yao kwani sio vibaya pia kujifunza na watu tofauti ndani na nje:). 5. Nikiwa
nyumbani haswa mie napenda usafi wa nje na ndani mwenyewe na napenda sana
kupika, namshkuru mungu pia nimechumbiwa kwa sasa inshaallah nitakuwa mke wa
mtu, tuombeane duwaa..