masanii wa Tanzania Ommy dimpoz aka Dimpoz kwapoz amegusha bonge la kichupa alicho kifanyia jijini London na kukitambulisha kwa mara ya kwanza katika kituo cha TV cha MTV Base kwenye show yake ya Best of Spanking New. Pia
kwa mara ya kwanza video hiyo itachezwa kwenye ukumbi wa Club Bilicanas
kwenye show ya Road to MAMA ambapo kundi la Mi Casa Music, Sauti Sol na
Diamond watatumbuiza
. video (Ndangushima) na iliongozwa na Moe Musa.
0 comments:
Post a Comment