sasa wanataka kuionyesha dunia kua mahusiano yao yata weza kufika kule amapo kila alioko kwenye mahusiano angependa kufika....
Bibi harusi mwenye miaka 33 na rapper kany mwenye miaka 36 walialika marafiki katika tafrija yasiri Ijumaaa ya tarehe 23 may na mtua aliekua akikaribisha wagenia alikua juu ya farasi akiwa amesheni dhahabu na get la mahali walipo fanyia tafrija likiwa limetengenezwa na dhahabu...




0 comments:
Post a Comment