Total Pageviews

Blog Archive

ymmb. Powered by Blogger.

Archives

Categories

Labels

AKA AFUNGUKA KWANINI HATO TOKEA JUU YA STAGE YA BACK TO THE CITY HUKO SOUTH AFRIKA

Msanii wakimataifa AKA amesema sababu zakutaa kufanya show katika tamasha la Back to the city lililo anadaliwa huko SA "AKA asema  Sipendezwi na jinsi watayarishaji wa matamasha Afrika kusini wanavyofanya kazi na wasanii wa nyumbani, hata Mimi ni msanii wa kimataifa na nataka kufanyiwa na kuchukuliwa sawa na wasanii wa kigeni mnaowaita wasanii wa kimataifa na ndio maana sitafanya show kwenye Back To The City" AKA akiwalala mikia waandaaji  wa mwatamsha huko SA .

Kua wakwanza kusikiliza Track hii toka kwa Kellyweezy




Daah! Video ya wimbo "Vumilia" ya Baraka da prince Ft Rubby ndio hatua iona tena Badaka afuka hapa

Msanii wa Bongo Fleva "Baraka da Prince " afungua juu ya kuchelewa  au kuto fanyika kabisa kwa video ya wimbo wake 'Vumilia' alio fanya na mwanadada tokea nyumba ya vipaji THT mwana Dada 'Rubby'

Baraka akifunguka hapa"Wimbo wa Vumilia niliufanya chini ya usimamizi tofauti na nilionao sasa so niliona italeta matatizo na watu kuongea ndio maana nikatoa Video nyingie badala ya hio uwezekano wakufanya video hio upo ila nipaka nifanye mazungumzo ".
Niayo alio sema msanii Baraka da prince

A.K.A afunguka kuusu collabo yake na Diamond (Simba) au baba tifa

masanii  A. k. a tokea Afrika ya kusini ameleza kua amesha fanya ngoma na msanii diamond toka Tanzania na tayari video imesha 
 AKA akiendelea kufunguka akaeleza kua video yake na Baba Tifa itakua out so soon yani mwezi unaokuja ili kuweza kuipa nafasi nyimbo ya Diamond inayo fanya vizuri kwa sasa katika vituo vya ndani ya Afrika pamja na vya  kimataifa
wapenzi na mashabiki wa Mastar hawa subirini kitu kikali toka kwao

new look

Soon we will be back online

Picha71 za show ya baby madaha alio ifanya nchini kenya

 Dada akiwakazun huku mashabiki wakila video ya buree ni shidaaa
picha zingine click hapa

Kim Kardashian, Kanye West's maandalizi ya harusi: Pictures


wawili hawa walio anzisha  mahusiano yao mnamo Aprill 2012
sasa wanataka kuionyesha dunia kua mahusiano yao yata weza kufika kule amapo kila alioko kwenye mahusiano angependa kufika....
Bibi harusi mwenye miaka 33 na rapper kany mwenye miaka 36 walialika marafiki katika tafrija yasiri Ijumaaa ya tarehe 23 may na  mtua aliekua akikaribisha wagenia alikua juu ya farasi  akiwa amesheni dhahabu na get la mahali walipo fanyia tafrija likiwa limetengenezwa na dhahabu...



viatu vilivyo buniwa na m bunifu mashuhuri Alexander Wang.

TULI MFAHAMU KAMA SALMA BSS JE UNAMJUA ALIPOTOKEA? SOMA HAPA

Nilikua na fanya nae interviwe muda mchahe kutokea sasa akiwa huko Africa yakusin  na maswali yalikya hivii...........


Kwanza watu wangependa kuku jua kidogo salma ni nani kabla ya kuingia BSS?
Historia yako kwaufupi
Salma alikua ana fanyanini  kabla ya BSS
Salma  yuko wapi na anafanyanini?
Na katika muda ulio kua ndani ya BSS umepata manufaaa gani
Je wale waliokua mashabiki wako wategemee ninikutoka kwako
Vipi family ina kupa support yakutosha?
JE umesha record track ngap hadi sasa?
Mwisho  swali lakizushi
Salma kama motto wakike anapendelea kufanyanini akiwa home?


majibu yake yalikua hayo
 
1. Mimi ni mtoto wapili ktk familia ya Mzee Yusuf Mbwana Abushiri, kabla Bss nilikuwa bado mwanafunzi na pia nilikuwa napenda mziki km kipaji. Mwaka 2006 ndipo nilianza mziki rasmi na kifunza chombo cha mziki kinanda hapa "DCMA- Dhows Country Music Academy", Zanzibar. Baada ya hapo nikaja Dar mwaka 2010 nikajiunga na THT then mwaka 2011 nikaamua kijifunza combo kingine guitar ktk chuo kiitwacho "Johme centre of music"..baada miezi kaaza pia nikaona si vibaya kupata mafunzo ya voice training ktk chuo kiitwacho "Turn round music academy TMA". 2. Kabla Bss nilikuwa mwanafunzi, wakati nilipokuwa Bss nilijifunza mengi kwa watu na walim tofauti, kusema kweli ilikuwa ngumu kwa Mara ya kwanza kuishi mbali na familia na umri wangu nilikuwa mdogo miaka 17 ila kuishi na watu ilikuwa na moja ya experience na changamoto kwangu ila ilikuwa poa sana! . Sasa hivi nipo Africa kusini nasomea "Music production and deejaying"..Mashabiki wategemee wengi kwani Mimi mziki kwangu ni kitu almasi kwangu na nataza mbele zaidi sio tu kuimba!. 3. Nimerikodi ndio nyimbo 6 ninazo but still am working on then nazo huku huku na kupata experience ya kazi ya mziki huku na industry yao kwani sio vibaya pia kujifunza na watu tofauti ndani na nje:). 5. Nikiwa nyumbani haswa mie napenda usafi wa nje na ndani mwenyewe na napenda sana kupika, namshkuru mungu pia nimechumbiwa kwa sasa inshaallah nitakuwa mke wa mtu, tuombeane duwaa..

OMMY DIMPOZ official video (Ndangushima)

masanii wa Tanzania Ommy dimpoz aka Dimpoz kwapoz amegusha bonge la kichupa  alicho kifanyia jijini London na kukitambulisha kwa mara ya kwanza katika  kituo cha TV cha MTV Base kwenye show yake ya Best of Spanking New. Pia kwa mara ya kwanza video hiyo itachezwa kwenye ukumbi wa Club Bilicanas kwenye show ya Road to MAMA ambapo kundi la Mi Casa Music, Sauti Sol na Diamond watatumbuiza
.  video (Ndangushima) na iliongozwa na Moe Musa.

DIAMOND PLATNUMZ AKIWA JIJIN LONDON



NBA SUPERSTAR HASHEEM THABEET NA MCHUMBA WAKE BEE ANDERSON WAPATA MTOTO WA KIUME

  Mtanzania anayecheza mpira wa kikapu katika timu kubwa ya ‘Thunder aka OKC’ katika jijini la Oklahoma, Marekani Hasheem Thabeet aka Hasheem The Dreamwiki sita zilizopita amepata mtoto wa kiume(Baby Boy) aliyezaa na msichana wa kimarekani anafahamika kwa jina la Bee Anderson alias Love Queen Bee.Thabee mama watoto wake ni modele maarufu huko jijini Las Vegas, Marekani.

DOWNLOAD (miss me by Ryan989 ft Kelvin) now

 mixtape MBEYA CITY


Wema Sepetu athibitisha kua na uhusiano "serious" na Diamond platium

Wema sepetu asema mapenzi yao na kaka Diamond platinumz sasa yako super tena imara sio kama zanmani....................................wema na diamondLeo katika kibindi cha LEO TENA cha CLOUDS FM alie kua miss Tanzania Wema Sepetu  eti mapenziyao yana nguvu kwakua wame ishikatika mahusiano kwa takribani miaka 4 yeye na kaka Diamond.
nanukuu "Wema: kweli nipo na Nasb napia nadhani muda huu utakua wautulivu kwetu"
kile tulichokua tuna fanya ilikua ni utoto na now tupo kweye "SERIOUS RELATIONSHIP toka 2010 na dhani nimwaka wa 4 sasa WEMA....

Justin Bieber bailed after Miami drink-drive arrest



Justin Bieber waves after leaving the Turner Guilford Knight Correctional Center in Miami Related Stories

Pop singer Justin Bieber has been released from custody in Miami, following his arrest on Thursday.

The 19-year-old posted bail of $2,500 (£1,500), after a brief court appearance, where he was accused of driving under the influence of alcohol, marijuana and prescription drugs.

Police said the star had been racing a sports car on a Miami Beach street. He was also charged with resisting arrest and having an expired driving licence.

Bieber waved to fans as he left jail.

Escorted by officials and his personal entourage, he climbed on to the roof of a sports utility vehicle to greet his supporters, many of whom were in tears, before being driven away.

At the bail hearing, the Canadian star stood silently, dressed in an orange prison uniform, as he heard the charges against him.

 
  1. Justin Bieber was granted bail after appearing in court  

kingPao Tanzania's perfomance on xxl after xul 2013

Picha: Ujumbe wa Diamond kwa birthday ya mama yake mzazi


Kila ninapowaza nikufanyie kitu gani naona
 kama kidogo hakitoshi kwa jinsi shida,tabu ulizozipata
 katika kunilea hadi leo kufikia hapa...ni Matatizo mengi sana, tena Saana hadi kila
 niyakumbukapo najikuta ghafla machozi
 yananitoka...tazama hata hapa najikuta nakosa
 cha kukiandika maana kila niliandikalo naona kama bado halitoshi
 kuelezea Hisia, Upendo, Thamani na Heshima yangu Kwako... Nakupenda 
sana Mama yangu, Mwenyezi Mungu akuzidishie Maisha marefu 
yenye Afya na furaha ili uzidi kuniongoza vyema Mwanao, Maana Bila wewe
 Mbele kwangu ni kiza... Happy Birthday Mama Nasibu.



YMMB: PICHA KALI YA WIKI

PICHA KALI ZA WEEK......!!





LULU'S HAPPY BIRTHDAY PHOTOS













 
 
 


wema duuuuuuuu

sasa huu ustar basitena!!!!!!!!!!!!

PICHA KALI YA WIKI


YUMA YA CAMERA KATIKA VIDEO YA QUICKY WOSHINGTON